• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Video

  • RAI YA KANALI PATRICK SAWALA KWA WAFANYABIASHARA WA KOROSHO MKOANI MTWARA

    November 8th, 2024
  • TUMEJIPANGA KOROSHO YOTE ITASAFIRISHWA KUPITIA BANDARI YA MTWARA

    November 8th, 2024

    Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala amewataka wakazi wa Mtwara kutoa ushirikiano Kwa bandari ya Mtwara ili iweze kutekeleza agizo la Rais la kusafirisha Korosho kupitia bandari hiyo.


    Kanali Sawala ametoa kauli hiyo wakati wa ziara yake ya kukagua miundombinu katika bandari hiyo ambapo amesema uwekezaji Mkubwa wa zaidi ya shilingi bilioni 157 uliofanywa na serikali umeiongezea bandari uwezo wa kusafirisha mizigo mingi zaidi tofauti na hali ilivyokuwa miaka michache iliyopita.


    " Bila shaka Kila mmoja wenu anakumbuka hali ya usafirishaji ilivyokuwa kabla ya kuboresha miundombinu, hivi Sasa uwezo wa bandari yetu wa kusafirisha mizigo umepanda kutoka tani 400,000 hadi tani 1600, 000 Kwa mwaka" alisema Kanali Sawala.


    Aidha Kanali Sawala ameongeza kuwa kutokana na ongezeko la uzalishaji wa zao la korosho katika msimu wa 2024/25 ni dhahiri kuwa hali ya uchumi wa wakazi wa Mtwara itaimarika huku akiwataka kuitumia vizuri fursa hiyo kujiletea Maendeleo.


    Halikadhalika Kanali Sawala ameitumia fursa hiyo kutoa wito Kwa wafanyabiashara pamoja na wasafirishaji kuhakikisha korosho zote zilizoko katika maghala makuu zinasafirishwa hadi bandarini.


    " Ndugu zangu tumeshuhudia jinsi uzalishaji wa korosho ulivyopanda, Sasa nitoe wito Kwa wadau wote wanaohusika na usafirishaji wa korosho kutoka kwenye maghala makuu kuharakisha mchakato wa kuzisafirisha mpaka bandarini" alisisitiza Kanali Sawala


    Pia Kanali Sawala ameitumia fursa hiyo kumshukuri Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Kwa kuruhusu bandari ya Mtwara kusafirisha Korosho hatua ambayo amesema imechangia kutoa ajira sambamba na kuongeza pato la Mkoa.

    Nov 7, 2024

  • MKUU WA MKOA WA MTWARA KUONDOA CHANGAMOTO KWENYE KILIMO HASA KWA MAZAO YA KIMKAKATI(KOROSHO & UFUTA)

    July 13th, 2024

    Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas Ahmed ameendesha kikao chenye malengo ya kuondoa changamoto zilizopo katika sekta ya kilimo hususani katika mazao ya kimkakati ya Mkoa yaani korosho na Ufuta.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • CRDB KANDA YA KUSINI YAISHIKA MKONO MTWARA MAANDALIZI YA UMISETA TAIFA

    May 27, 2025
  • KUELEKEA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI, MIKOKO 6,000 YAPANDWA MTWARA.

    May 31, 2025
  • KAMATI YA LISHE MKOA WA MTWARA YAKUTANA

    May 30, 2025
  • MIRADI YA UJENZI ITOE AJIRA KWA WANANCHI” WAZIRI ULEGA

    May 27, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

Kurasa Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.