Amesema serikali inaendelea na mipango ya kuboresha sekta ya elimu ikiwemo kuleta vifaa vya maabara kwa shule za sekondari kote nchini
Amerishishwa na hali ya ukusanyaji wa fedha za Ndani na mshikamano walio nao hapo Tandahimba.
Mheshimiwa Waziri Mkuu amewaagiza TAKUKURU kufanya uchunguzi juu ya matumizi ya hizo fedha za ujenzi wa jengo la Ofisi za halmashauri hiyo
Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.