Posted on: August 5th, 2019
Mkuu Wilaya ya Tandahimba Mhe. Sebastian Muungano Waryuba amelitaka shilika la Viwango Tanzania (TBS) kutoa elimu kwa wananchi umuhimu wa kuzingatia viwango vya ubora katika uzalishaji wa bidhaa hasa ...
Posted on: August 3rd, 2019
Serikali imeahidi kuwalipa wakulima wote wa korosho ambao hadi sasa hawajalipwa malipo yao ya msimu wa 2018/2019.
Ahadi hiyo imetolewa leo na Mkuu wa Wilaya ya Masasi, Mhe. Selemani Mzee wa...
Posted on: July 29th, 2019
Kampeni ya Shule ni choo inatarajiwa kuzinduliwa mkoani Mtwara September mwaka huu. Kampeini hii itakayodumu kwa kipindi cha mwaka mmoja itawahusisha waliowahi kusoma mkoani mtwara kuchangia ujenzi wa...