Posted on: December 16th, 2022
Mkuu wa wilaya Mhe. Dunstan Kyobya amewaasa wahitimu wa kozi ya mafunzo ya jeshi la akiba kuutunza ujuzi waliopata kudumisha amani na kutetea maslahi ya Taifa.
Mhe. Kyobya ametoa wito huo katika ha...
Posted on: December 15th, 2022
Mkoa wa Mtwara Umezindua rasmi mpango wa usafiri wa dharula wa akina mama wajawazito, wanaojifungua na watoto wachanga unaojulikana kama M-Mama ambao kitaifa ulizinduliwa mjini Dodoma Aprili 06 mwaka ...
Posted on: December 14th, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas Ahmed amewahaidi wafanyabiashara na wawekezaji wanaodhamiria kuwekeza upande wa Tanzania hususani katika mkoa wa Mtwara, kuwa serikali ya mkoa tayari imeunda ...