Posted on: June 27th, 2019
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa akikabidhi kadi za ujasiliamali kwa wanachama wa kikundi cha Mtwara kuchele kinachofanya kazi ya Usafi wa Mazingira ndani ya Manispaa ya Mtwara Mikindani....
Posted on: June 13th, 2019
Vitamini A ni muhimu sana katika kuimarisha kinga ya mwili dhidi ya magonjwa. Kwa mkoa wa Mtwara tatizo la upungufu wa Vitamini A linaathiri takribani asilimia 33% ya watoto. Madhara yatokanayo na upu...
Posted on: June 12th, 2019
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa ameitaka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Naliendele kuanzisha mashamba darasa ya ufuta mkoani hapa.
Agizo hilo amelitoa leo Juni 12, 2019 wakati aki...