Posted on: November 8th, 2017
Wakazi wa mkoa wa wa Mtwara wanatarajia kunufaika na mpango wa utoaji wa vitambulisho vya taifa unaosimamiwa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA). Mpango huu unaotarajiwa kuanza Novemba 13, mwa...
Posted on: November 3rd, 2017
Bei ya korosho msimu wa 2017 imeendelea kupanda mkoani Mtwara huku ikivunja rekodi ya tangu zao hili kuwepo hapa Mkoani. Katika minada iliyofanyika leo mkoani hapa bei ya juu ya korosho imeuzwa shilin...
Posted on: October 31st, 2017
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Glasius Gasper Byakanwa (Kushoto) akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Evod mmanda mara baada ya kuwasili kwa mara ya kwanza katika Ofisi yake jana.
 ...