Posted on: December 21st, 2024
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala ameagiza kuundwa kwa timu maalumu itakayokuja na mkakati pamoja na utekelezaji ili kutokomeza malaria ndani ya mkoa wa Mtwara.
Kanali Sawala ameto...
Posted on: December 20th, 2024
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Kenan Sawala mapema leo tarehe 20/12/2024 amefungua na kuongoza kikao cha bodi ya barabara Mkoa wa Mtwara ambacho kimelenga kujadili taarifa mbalimbali za ut...
Posted on: December 19th, 2024
Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Prof. Makame Mbarawa leo tarehe 19 Novemba 2024 amefanya ziara mkoani Mtwara ambapo ametembelea bandari ya Mtwara na eneo la Kisiwa Mgao itakapojengwa bandari ya kusafirishia ...